Imeripotiwa kuwa mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic amekataa kulipwa mshahara na klabu ya Man United kwa kipindi chote ambacho atakuwa akijiug...
Read More
Showing posts with label Michezo. Show all posts
MEXIME: KUCHEZA NA SIMBA NI KUJISUMBUA
Kocha wa Kagera Sugar Mecky Maxime ameilaumu Kamati ya masaa 72, kwa kuwapoka pointi tatu kwa madai ya kumchezesha beki Mohamed Fakhi mweny...
Read More
MANJI: NATAKA KUISUKA UPYA YANGA SC
Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji amesema kuwa anataka kusuka upya timu hiyo ili wawezekufanya vizuri kwenye mashindao ya kimataifa...
Read More
Mourinho:Hakuna furaha zaidi ya kuwafunga chelsea
Baada ya kufanikiwa kuifinga timu yake ya zamani ya Chelsea goli 2- 0, katika uwanja wa Old Traford, Meneja wa Timu ya Manchester United Jo...
Read More
TOTO YAIVUTA SHATI SIMBA
Klabu ya Toto African leo imeendeleza rekodi yake ya kutokufungwa na Klabu ya Simba kwa takribani miaka saba sasa pindi Toto inapocheza kat...
Read More
KAMATI YA MASAA 72 YAIONGEZEA KASI SIMBA
Baada ya kusubiri mda mrefu hatimaye Kamati ya Masaa 72 imekamilisha kazi yake kwa ajili ya kuitolea maamuzi rufaa ya klabu ya Simba iliyok...
Read More
Hicho ndio kikosi cha Yanga kitachoenda kupambana na Alger
Klabu ya soka ya Yanga SC inapenda kutoa taarifa juu ya safari yake leo Alhamisi kwenda Algeria katika mechi ya marudiano dhidi ya Mc Alger....
Read More
YANGA SC : Taarifa kwa Umma
Klabu ya soka ya Yanga SC inapenda kutoa taarifa juu ya safari yake hapo kesho kuelekea Algeria katika mechi ya marudiano dhidi ya Mc Alger ...
Read More
WADAU KUICHANGIA SERENGETI BOYS
Dar es Salaam.Kamati ya kuhamasisha Watanzania kuichangia timu ya taifa ya vijana ‘Serengeti Boys’ imeandaa hafla maalumu ya chakula cha us...
Read More
Kessy: Ubora wangu unatokana na Msuva
BEKI wa kulia wa Yanga Hassan Kessy amekiri kuwa na maelewano mazuri baina yake na winga Simon Msuva katika mchezo wao na MC Aalger uliochez...
Read More
KANTE ' EDEN HAZARD ANASTAILI KUWA MCHEZAJI BORA WA ENGLAND
N’Golo Kante amesema kwamba mchezaji mwenzake Eden Hazard ndiye anayestahili kuwa mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka England. Mchez...
Read More
Fabregas na mpenzi wake wapata mtoto wa kiume
Mchezaji wa klabu ya Chelsea Cesc Fabregas April 5, alithibitisha kuwa siku ya jumanne usiku yeye na mpenzi wake Daniela Semaan wamefanikiwa...
Read More
KWESI APPIAH ATEULIWA KUWA KOCHA MKUU GHANA
Chama cha soka cha Ghana kimemteua tena Kwesi Appiah kuwa kocha mkuu wa wa timu ya taifa ya Ghana Black stars. Appiah amepewa mkataba wa m...
Read More
SERENGETI BOYS KIJIPIMA NA GHANA LEO
Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 17, Serengeti Boys, leo inatarajia kupambana na timu ya taifa ya Ghana chi...
Read More
Samatta hashikiki atupia Mechi ya Jana
NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana amefunga bao moja timu yake, KRC Genk ikishinda 4-0 Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk dhidi y...
Read More
Yanga yarudi kileleni, yaipiga Azam Fc 1 - 0
YANGA SC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar...
Read More
Yanga vs Azam, mechi ya kisasi leo
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga leo wanawakaribisha Azam FC kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara huku wakiwakosa nyota...
Read More
JB ADAI YANGA HAIWEZI KUWA YA KIMATAIFA
Msanii Steven Jacob maarufu kama JB amefunguka na kusema klabu ya Yanga ni chanzo cha watu wengi kupatwa na matatizo ya moyo sababu klabu hi...
Read More
Waziri Mwakyembe Kuwakutanisha Alikiba na Diamondplatnum
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe amesema ana mpango wa kuwakutanisha pamoja @officialalikiba na @diamo...
Read More
UWANJA WA NDEGE WAPEWA JINA LA RONALDO
UWANJA WA NDEGE WAPEWA JINA LA RONALDO Nyota Cristiano Ronaldo amejipatia heshima nyingine katika kisiwa alichozaliwa Madeira baada ya uwan...
Read More
Subscribe to:
Posts (Atom)
