Klabu bingwa barani ulaya iliendelea tena usiku wa kuamkia leo, ambapo kulikuwa na jumla ya michezo minane.
Manchester City wakiwa nyumbani walilipa kisasi dhidi ya Barcelona kwa kuichakaza magoli 3-1.
Washika bunduki wa london Arsenal waliendelea kudhihirisha ubabe wao mbele ya Ludogorets Razgrad ya Bulgaria kwa ushindi wa 3-2
Atletico Madrid wakiwa nyumbani waliibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya FC Rostov.
Bayern Munich ikaifunga PSV Eindhoven 2-1
Matokeo mengine
Basel 1-2 Paris Saint Germain
Besiktas 1-1 SSC Napoli
Benfica1-0 Dynamo Kyiv
Bourussia Moenchengladbach 1-1 Celtic
Manchester City 3-1 Barcelona