Showing posts with label Siasa. Show all posts

BASHE : KUNA KIKOSI MAALUM KINACHOENDESHA UTEKAJI NDANI YA USALAMA WA TAIFA

Mbunge wa jimbo la Mnzega Mjini Mh.Hussein Bashe amesema kuwa kuna kikundi maalumu cha utekaji kilicho ndani ya Idara ya usalama wa Taifa n...
Read More

7 WASIMAMISHWA KAZI KWA UBADHIRIFU WA MIL 900/-

Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji imewasimamisha kazi watendaji waandamizi na wakuu wa idara saba wa manispaa hiyo kwa tuhuma za ubad...
Read More

MAWAZIRI WA KIGENI G7 WAKUTANA ITALIA KUIJADILI SYRIA

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rex Tillerson amewasili nchini Italia kwa ajili ya kikao na mawaziri wa mambo ya nje wa nchi saba zilizo...
Read More

NAPE: TUTAPATA SHIDA 2020

Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye amesema matendo ya utekaji nyara wananchi yasipotatuliwa yatakipa shida...
Read More

Sasa ni Gwajima Vs Halima Mdee, aambiwa "Koma"

Kuhusu Halima Mdee, Leo wakati akihubiri katika Ibada ya Ijumapili katika kanisa lake la Ufufuo na Uzima lililopo Ubungo Jijini Dar es Salaa...
Read More

NAPE AITWA NA WAZEE

Wazee wa Jimbo la Mtama siku ya leo wamemuita Mh Nape Nnauye kumuombea dua na kuongea naye kwa yote yaliyotokea kipindi cha nyuma.
Read More

MAALIM SEIF: HAKUNA CUF YA MAALIM WALA CUF YA LIPUMBA

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chama hicho kitaendelea kufanya mambo kiungwana kwa kuwa Tanzania ni n...
Read More

PROF: KITILA AMSHUKURU JPM KWA UTEUZI

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Kitila Mkumbo amemshukuru Rais Magufuli kwa kumteua kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwag...
Read More

JK: NI ZAMU YA KUMUUNGA MKONO MKE WANGU

Dar es Salaam. Baada ya kupokelewa kwa shangwe katika ukumbi wa bunge leo hii, Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema ni zamu yake kw...
Read More

MAMA SALMA AAPISHWA RASMI LEO BUNGENI

Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Job Ndugai leo amemuapisha mke wa rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete, Salma Rashid Kikwet...
Read More

Alichokiandika Zitto Kabwe baada ya Katibu wa Bunge kutoa Ufafanuzi

Baada ya Katibu wa Bunge kutoa ufafanuzi kuhusu uwakilishi wa vyama katika uchaguzi wa Bunge la Afrika la Mashariki, Kiongozi wa Chama cha A...
Read More