Kwa mujibu wa wakili Msomi Peter Kibatala amesema kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa...
Peter Kibatala "Nay wa Mitego amefikishwa Central Police Station, Dar es Salaam. Yuko salama na imara; amekula pia. Kwa kuwa amefika jioni sana; hakuna kilichoweza kufanyika leo.
Wakili Faraji Mangula alifika pale, na kesho tutapigana afikishwe Mahakamani au apewe dhamana.
As usual; we never leave a soldier of the struggle behind enemy lines. Tutasimama naye mpaka mwisho."