Tajiri namba moja barani Afrika, Mnigeria, Aliko Dangote amesema ana mpango wa kuinunua klabu ya Arsenal ya England katika kipindi cha miaka 4 ijayo. Dangote mwenye utajiri wa £8.3 billion alishawahi kutaka kununua hisa katika klabu hiyo lakini ilishindikana, Arsenal inakadiriwa kuwa na thamani isiyopungua £1 billion.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)