Home »
Uncategories »
Taasisi ya TWAWEZA wanazindua ripoti ya utafiti kuhusu, "Demokrasia, Udikteta na Maandamano
Taasisi ya TWAWEZA wanazindua ripoti ya utafiti kuhusu, "Demokrasia, Udikteta na Maandamano
Leo Taasisi ya TWAWEZA wanazindua ripoti ya utafiti kuhusu, "Demokrasia, Udikteta na Maandamano: Wananchi wanasemaje?" Japokuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa ikipokea pongezi nyingi kwa kupambana na utendaji mbovu na ufisadi, lakini inakosolewa kuhusu masuala ya Demokrasia.