Akiongea na Enews ya EATV, Dr Cheni alisema kuwa usalama wa kazi zao ndiyo tatizo kwenye tasnia ya bongo movie
“ Siwezi kutoa tena filamu hadi Serikali itakapo hakikisha kuwa kazi zetu zipo salama, ukitoa filamu leo siku moja ya pili ya tatu unazikuta chini zinauzwa feki . Kiio chetu sisi bingo movie ni kazi zetu zinaibiwa namuomba Rais Magufuli aingilie kati swala hili kwani vijana wengi wamejiajili kwenye bongo movie.” Alisema Dr Cheni