Maneno ya Barakahtheprince Caro light caro light mungu anakuona kuwafanya vijana wetu kama mabinti.....naipenda sana #Africanyeusi inapendeza sana.ila mr caro light anataka kuibomoa #Nisamehe link kwa bio yangu hapo juu na #Nisamehe cover kwa bio ya mr @stanbakora hahaha nawapenda sana watu wa mungu... Sisi uku atufake kabisaa
#Nisamehe