Nikki wa Pili |
Nikki wa Pili alisema “Unapoona mtu amesema Fulani namba moja huna haja ya 'Kudebate' hii inatokana na maoni vile ambavyo mtu anaona na anapima kwa vigezo vyake, Msanii wa HipHop anapokuwa na Top Track sote tunapaswa kufurahia”
Pia akaongezea kuhusu "Mimi sikatai mashabiki kubishana ila wabishane kuhusu muziki sio nani kakaa wapi anafanya nini, ningefurahi kama wangebishana kuhusu show, ubunifu"