Mama yoyote yule pale mwanae anapopata mtoto na yeye huwa na furaha kubwa sana. Ndivyo ilivyokuwa kwa Mama yake Diamond baada ya Mkwe wake Zari kujifungua mtoto wake wa Pili kwa Diamond.
Diamond na Mama yake
Tukio hilo limemfanya Mama yake Diamond kuandika Maneno haya ya Furaha kwa Mjukuu wake wa Kiume Mume wamie asante mungu