MTOTO WA DIAMOND: Sababu za Mtoto wa Pili wa Diamond kuchelewa kupata Jina

Mtoto wa Diamond

Katika Mtandao wa Instagram Diamond ame eleza kwanini toka mtoto amezaliwa amechelewa kupata Jina. Mtoto huyo ambaye ni wa Kiume amezaliwa Siku ya Leo huko Afrika Kusini.



Diamond ameandika haya
Tareh 6/ 12/ 2016 saa kumi na dakika 35 Staa Mpya wa akiume alizaliwa katika hospitali ya NETCARE iliyopo mjini Pretoria / South Africa... kutokana na wazazi wake kutofikiana Muafaka wa mtoto aitwe jina gani, ilipelekea mtoto huyo kuchelewa kupostiwa kwenye Mitandao ya kijamii ya Wazazi wake.... tusubiri tuone @zarithebosslady na @DiamondPlatnumz wataishia kumpa jina gani Mtoto wao...✍