Maxence Melo |
Pia amesema hana ugomvi wowote na vyombo vya dola na ana imani na mahakama za hapa nchini kuwa zitamtendea haki katika kesi yake.
Amewataka wananchi wote bila kujali itikadi zao kuendelea kupigania uhuru wa kusema na kutoa maoni, pia amevishukuru vyomo vyote vya habari na wanahabari kwa kumuunga mkono kipindi chote alipokuwa mahabusu.
#source #JamiiForum