Mkoani Singida Watu watatu wamefariki dunia na wengine 6 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wamepanda la kampuni ya Mohammed Trans kupata ajali mapema leo.
Aidha, inadaiwa kuwa basi hilo liliwabeba waalimu waliokuwa wamelikodi kutoka Mkoani Tanga.
Mtandao Wa Habari Za Uhakika