Ndege ya pili mpya ya Bombadier Q400 ya ATCL imewasili Emmanuel Mahundi Tuesday, September 27, 2016 Matukio Ndege ya pili mpya ya Bombadier Q400 ya ATCL imewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere(JNIA) ikitokea nchini Canada . Kesho zote mbili kupokelewa rasmi na Rais Magufuli. Share this Share on FacebookTweet on TwitterPlus on Google+