Usifananishe mafanikio yako na ya mtu mwingine maneno ya Shamsa Ford


























Usifananishe mafanikio yako na ya mtu mwingine  utakufuru kwasababu Mwenyezi Mungu humpa kila mtu riziki yake kwa muda wake muafaka. Kwa kidogo ulichonacho sema ALHAMDULILLAH. ..Thanks my wifi @cheeksfashionkinondoni @cheeksfashionkinondoni kwa gauni. ...IJUMAA KAREEM