Wema Sepetu Achukia kuwa mnene



Wema sepetu amekuwa akuongezeka mwili kwa haraka na kupoteza lile umbile lake la mwanzo na baadhi ya Mashabiki zake kusema kuwa amepoteza mvuto. Vile vile katika viindi tofauti katika kurasa zake za Instagram Wema sepetu amekuwa akiongelea kuhusu mwili wake na kuonyesha hapendi unene. Aiwahi kusema   Kibonge Mimi... Ila najipenda na Ukibonge wangu... Gym nako ni Wito.... ðŸ™ˆðŸ™ˆðŸ™ˆ Aaaargh kwasababu gani kuna kunenepa jamani.... Sipendi.... aisee inabidi tupungue.... ðŸ™ŠðŸ™ŠðŸ™Š Nguo zote hazinitoshi.... Kwa leo tuishie hapa...

Weekend hii ameonyesha yuko tayari hata kunywa dawa za kupungaza mwili ili aweze kuvaa hata nguo zake za zamani. Na hii inatuma tafsiri kuwa Wema haupendi unene ambao anao kwa sasa. Na aliyaandika haya Instagram  Nafanya nini niupate huu mwili tena jamani.... Hii gauni inifit hivi hivi.... maana ninayo ndani na sina mpango wa kuigawa... mpaka niweze kuivaa tena.... Au nianze kutumia madawa....😂😂😂😂😂 Labda ntapungua..... Bwaaaana Im serious tho..... I want my body back...

Anatamani aweze kuvaa nguo hii tena