Nisha Bebee |
Na walisha achana na alikuwa na mapenzi na mtu mwingine, na kwamba alimuingilia bila yeye kuwa tayari. Ni kwa sababu tu anajua uzaifu wake.
Leo katika akaunti yake ya Instagram amepost Video akiwa analia na kusema kuwa bado ana hamani ya moyo kabisa katika kipindi hiki. Na kuandika haya UNAJUA KINACHOUA UZURI WNG?? NI MACHOZI YANITOKAYO KILA SIKU. Naweza kwenda popote,naweza nunua chchte nnachotaka.. M'Mungu kanibariki neema zote kubwa na ndogo.. kitu pekee ambacho sina ni AMANI YA MOYO WANGU