Watu hao walikuwa wamekwishafanikiwa kutoa fedha katika mashine za kutolea fedha(ATM) kiasi cha shilingi milioni 11.
Kufuatia tukio hilo Kesho la Polisi limewatahadharisha wananchi kuwa makini na wahalifu na matapeli na kwamba watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani mara baada ya uchunguzi kukamilika.