Lori la mizigo lililosheheni mahindi limeingia kwenye barabara ya mabasi yaendayo haraka lilipokuwa likitokea Soko la Tandale, Manzese jijini Dar es Salaam. | Kufuatia hali hiyo kulitokea msongamano mkubwa wa mabasi katika eneo la Manzese darajani sababu mabasi hayakuweza tena kupita.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)