Home »
Uncategories »
Mpango na ndoto za Yusuf Manji kuichukua Yanga waanza kutimia
Mpango na ndoto za Yusuf Manji kuichukua Yanga waanza kutimia
Kuelekea kumkabiri Mnyama SIMBA hapo kesho, zipo taarifa za Boss wa klabu ya YANGA Yusuf Manji kusaini mkataba na Bodi ya Wadhamini wa klabu hiyo. Kwa mpango huo ni wazi kuwa ndoto za Yusuf Manji za kukodi Klabu ya Yanga kwa miaka 10 zitakuwa zimekamilika.