ManUtd wamefanikiwa kufunga katika mechi 14 zilizopita vs Leicester City katika Barclays Premier League - wamefunga jumla ya magoli 33.
Katika mechi 4 zilizopita alizoichezea Leicester vs Man United, Jamie Vardy amefunga katika mechi 3 kati ya hizo. Leo ataongoza mashambulizi ya Leicester vs De Gea, ataweka tena?? Mtanange ni saa 8:30 unusu mchana huu.
ManUtd wamepoteza mechi moja tu ya nyumbani katika mechi 20 dhidi ya Leicester City, walifungwa 1-0 mwaka 1998.
Je Leicester leo watarudia walichokifanya miaka 18 iliyopita.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)