Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa asilimia 7.9 Emmanuel Mahundi Friday, September 30, 2016 Biashara Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa asilimia 7.9 katika robo ya 2 ya mwaka 2016. Ukuaji huo umechangiwa na sekta za Madini, Uzalishaji na Nishati. Katika robo ya kwanza uchumi ulikuwa kwa asilimia 5.5 Share this Share on FacebookTweet on TwitterPlus on Google+