Home »
Uncategories »
Donald Trump alidanganya kuwa alipata hasara ya zaidi ya shilingi trilioni 1 na hivyo akakwepa kodi
Donald Trump alidanganya kuwa alipata hasara ya zaidi ya shilingi trilioni 1 na hivyo akakwepa kodi
Gazeti la 'Times' limemtuhumu, Donald Trump kudanganya kuwa alipata hasara ya zaidi ya shilingi trilioni 1 na hivyo akakwepa kodi.
Ripoti hii imekuwa ni taarifa mbaya kwa kambi ya mgombea wa Republican Donald Trump.