Msanii Diamondplatnum akiri kuwa ni Mswahili haswaaa




Hii ilikuwa siku ya jana pale Diamond alipokuwa anapost picha za Nyumba yake aliyonunua Afrika kusini siku za hizi karibuni. Diamond aliandika maneno baada ya comment ya baadhi ya mashabiki zake ambao wanasema kuwa nyumba sio yake.


Aliandika haya Asa kunya nakunya mie makalio yanawauma wengine, eti inahuu....? Wambie wasininunie mie, wakazane....halaf hii clip naomba wanangu mnisaidie kuwatag wote waliokuwa busy kupost na kuzungumza Kuwa nyumba hii si yangu....waambie hizi ndio kwanza rasharasha  clip hata kupost sijaanza bado....soon naamia ndani😂😂...halaf nlisahau, wakikwambia  mie mswahili wambie Mswahili haswaaa👌... halaf uswahili wangu najua kuutumia na umefanya leo niwe na kibanda south asa wao Uzungu wao Umewapa nini😂

Nyumba ya Diamond aliyonunua Afrika kusini