“Namshukuru sana Mungu kwa kupata nafasi hii, Katikati ya mwezi November walinipigia simu na kuniambia kuwa wananifikiria katika mchongo huo, lakini sikutaka kuweka wazi kutokana na maneno maneno ya wabongo.” alisema @idrissultan
Sababu ya Idrissa Sultan kutoweka Wazi Mchongo Aliopata UGANDA
“Namshukuru sana Mungu kwa kupata nafasi hii, Katikati ya mwezi November walinipigia simu na kuniambia kuwa wananifikiria katika mchongo huo, lakini sikutaka kuweka wazi kutokana na maneno maneno ya wabongo.” alisema @idrissultan