Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe akifurahi na Mbunge wa Mtama, Mh Nape Nnauye walipokuwa Uwanja wa Taifa leo na kushuhudia #TaifaStars ikishinda 2 - 0 dhidi ya #Botswana. . . #ProudlyTanzanian #Tanzania
#socialmediahabari